Mwanangu nenda duka la madawa.
Ukishafika duka la nadawa.
Mwambie muuzaji unataka Vidonge vya Griseofulvin dozi ya siku 28--30
Na Dawa ya kupaka inaitwa Clotrimazole cream.
Alafu mwangu ukishapata.
Kwa kutegemea athari ulizopata mwanangu kwenye pumbu (sijui km ngozi inakutoka (kutoka magamba) pumbu kuuma n.k..sijui ni kwa muda gan
Ila utachagua kati ya haya mwanangu
1---Unywe kimoja kila siku kwa siku 28--30
2---Unywe viwili Mara moja kila siku kwa siku 14--15
3--Unywe Kimoja Asubuhi , kimoja jion kwa siku 14--15 .
Wakati huo huo ukipaka iyo cream asubuh na jion .... Safisha eneo LA pumbu kwa maji vuguvugu au ya kawaida tu. ,hakikisha unapafuta panakauka kabisa ndio ulale Dawa.
Hakikisha unabadili Boksa kila utavyokua unapaka Dawa.( kama unaboksa 2--3) basi haki kisha unaifua nakuinyoosha kabla ya kuvua.
Kumbuka, usafi wako namavazi ndio kuta kufanya upone kabisa mwananguuu.
Kinyume nahapo hazitaisha ng'ooooo mwanangu.
Mwisho wasiku ,UTAOGOPA HATA KUGONGA MWANANGU..maana ukigonga tuu, Siku mbili tatu demu ataanza kulia 'Baby nawashwa hahahah, baby natoka na uchafu hahahahah