Msaada mabaka meusi usoni

Msaada mabaka meusi usoni

BALAGASHIA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
392
Reaction score
383
Msaada wana jamvi nimekuwa nikizifinya chunusi,sasa nimekuwa nabaki na mabaka meusi usoni.na ndevu pia nikinyoa zikianza kuota zinawasha sana.naomba msaada wa dawa ipi nitumie ili niendelee kuwa soft.
 
Back
Top Bottom