Choi Kang Ta
Member
- Aug 25, 2014
- 86
- 54
Mimi sio dactari na vipayu sivifahamu ndugu. Hiyo hali binafsi imenishangaza na ningependa kuona anatibiwa na kupona.Una uhakika sio vipayu
Daktari yeyote mwenye uelewa na utaalam juu ya tatizo hilo. Mimi sio daktari ninachohitaji ni maelezo, ufafanuzi na ushauri wa madaktari au wataalam wenye uelewa juu ya tatizo hilo. Nahitaji kuona huyu mtoto anasaidiwa.Kwa kuangalia tu iyo pic lnd ni ulize...Una itaji daktari gani mkuu kua specific [emoji23][emoji23][emoji41]Mshanajr
Nadhani huo ugonjwa unaitwa alopecia, niko tayari kurekebishwa... Google utauelewa vizuriDaktari yeyote mwenye uelewa na utaalam juu ya tatizo hilo. Mimi sio daktari ninachohitaji ni maelezo, ufafanuzi na ushauri wa madaktari au wataalam wenye uelewa juu ya tatizo hilo. Nahitaji kuona huyu mtoto anasaidiwa.
Sawa, ngoja nigoogle.Nadhani huo ugonjwa unaitwa alopecia, niko tayari kurekebishwa... Google utauelewa vizuri