Emmanuel kamuli
Member
- Jul 4, 2017
- 22
- 4
Nothing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tsubirNgoja waje
Je mfano kama zile nyuzi za nguo zkaachwa mwilini ?Inategemea aina ya nyuzi kuna ambazo hazihitaji kutolewa zinajichanganya na ngozi na kupotelea mwilini.
Nyuzi za nguo zikiachwa mwilini wakati wa zoezi gani? Mazingaombwe?Je mfano kama zile nyuzi za nguo zkaachwa mwilini ?
Mfano m2 anajeraha akashonwa af zkaachwa ktolewaNyuzi za nguo zikiacha mwilini wakati wa zoezi gani? Mazingaombwe?
Kumshona binadamu hawatumii nyuzi za nguo mkuu. Zipo nyuzi maalum hospitalini kwa kazi hiyo. Zipo zinazotoka na zipo zisizotolewa. Zinazopaswa kutolewa zisipotolewa zinaweza leta matatizo.Mfano m2 anajeraha akashonwa af zkaachwa ktolewa
😀😀😀 we jamaa bwana!!!! eti mazingaombwe!!!Nyuzi za nguo zikiacha mwilini wakati wa zoezi gani? Mazingaombwe?
[emoji23] [emoji23] mie hoiNyuzi za nguo zikiachwa mwilini wakati wa zoezi gani? Mazingaombwe?
hahahaha shikamoo ngaribaNyuzi za nguo zikiachwa mwilini wakati wa zoezi gani? Mazingaombwe?
Hahahaaaa! Ya nini hii Miss Neddy?mi mdogo tu ila ndevu zimeniwahi. Ila jamaa nae maswali yale...hahahaha shikamoo ngariba
Hahahaaa na mimi nimeuliza ili nijue...ukute napitwa na teknolojia[emoji23] [emoji23] mie hoi
Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
mdogo wapi wakat una jina la kihenga ........ mjibu tu usikute ana nyuzi zimesahulika mwilin mwake tangu mwaka 47Hahahaaaa! Ya nini hii Miss Neddy?mi mdogo tu ila ndevu zimeniwahi. Ila jamaa nae maswali yale...