Msaada madhara ya nyuzi zikiachwa mwilini baada ya kushonwa

Nilipata jeraha la kuchomwa na kisu- nikashonwa- siku nilipoenda hospital kwa ajili ya kutoa nyuzi (almost baada ya wiki) wakati wa zoezi nafikiri nesi alisahau kutoa baadhi- hivi mpaka Leo ninazo na sina tatizo lolote la infection wala nn-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…