Msaada maduka ya Makubwa ya Hardware Nairobi

dolevaby

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
12,958
Reaction score
9,516
Wakuu heshima mbele.....Ninahitaji meter flan za Maji aina ninayotaka hapa DAR hakuna nimekuja humu nikiamini kila kitu kinachohusu biashara kinawezekana ...

Ombi km kuna mtu anajua MADUKA Makubwa ya Hardware pale NAIROBI nikipata mawasiliano yahuko .....Mtakuwa mmenisaidia sana.....wandgu Natanguliza Shukrami
 


Weka hapa jina la hiyo mita

Asante kiongozi nahitaji MITA yoyote iwe ya CHUMA isiwe ya Plastic....Size ni Robo 3 Kinachotakiwa iwe na Return valve tu Natanguliza Shukrani
 
Asante kiongozi nahitaji MITA yoyote iwe ya CHUMA isiwe ya Plastic....Size ni Robo 3 Kinachotakiwa iwe na Return valve tu Natanguliza Shukrani



Mkuu nenda Davis & Shirtliff wapo Nyerere road wanatazamana na ofisi za zamani za kamata, kama Dar hazipo watakuangizia Nairobi
 
Ukifika nairobi ulizia sheikh karume road na Munyu road ndo kuna Hardware kubwa zag maana
 
Ukifika nairobi ulizia sheikh karume road na Munyu road ndo kuna Hardware kubwa zag maana

Mkuu nakushukuru sana kwa Bandiko hili.....Nitasafiri...Khs jamaa wa DAVIS nawafahamu wanaofisi pia karibu na kwangu Kariakoo...Sema hawa jamaa Bidhaa zao ni ghali sana...ukinunua kwao huwezi kuuza popote Labda ukatumie home.....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…