dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Wakuu heshima mbele.....Ninahitaji meter flan za Maji aina ninayotaka hapa DAR hakuna nimekuja humu nikiamini kila kitu kinachohusu biashara kinawezekana ...
Ombi km kuna mtu anajua MADUKA Makubwa ya Hardware pale NAIROBI nikipata mawasiliano yahuko .....Mtakuwa mmenisaidia sana.....wandgu Natanguliza Shukrami
Ombi km kuna mtu anajua MADUKA Makubwa ya Hardware pale NAIROBI nikipata mawasiliano yahuko .....Mtakuwa mmenisaidia sana.....wandgu Natanguliza Shukrami