Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Habari zenu madokta na msio madokta.
Week kadhaa zilizopita niliamua kujitoa mhanga na kwenda hospitali kupima HIV.
Nilienda kwenye vituo vya Angaza,maana nikitaka walau nipate na ushauri na maelezo tofauti tofauti kuhusu HIV.
Japo nilikuwa nadhani nina elimu ya kutosha juu ya ili gonjwa,lakini nikajikuta vitu vingi vinakuwa vipya kwangu.
Sasa kilichofanya niandike uzi huu ni pale yule mshauri alipotuelezea kuhusu watu ambao wanaweza kuwa wameambukizwa (au kuhisi wameambukizwa HIV) kwa bahati mbaya mfano aliyebakwa,aliyepata ajari n.k. Kwavile vijidudu vya HIV huweza kuonekana katika vipimo 3 months after maambukizi,so waliobakwa n.k ndani ya maaa 72 ya maambukizi huwa wanapewa vidonge flan ambavyo watavitumia kwa siku kadhaa na vidonge hivyo huweza kuwaondolea ilo tatizo.
Kiukweli hii taarifa ilikuwa ngeni kwangu na ikapelekea niwe na maswali mengi kichwani.
1. Huu ugonjwa hauna dawa,sasa hii ni nini??
2. Ukimeza hizi dawa,hawa HIV wanakufa au wanadhoofika tu??
(a) Kama wanakufa kwanini madaktari wasitumie formula hii hii ya hivyo vidonge ili kutuletea dawa kamili?
(b) Kama wanadhoofika tu,hiyo dawa inamsaada gani maana badae watarudi.
Ombi: Binafsi sio daktari,ila kupitia nyie madaktari naomba walau image ya huyo virus wa huu ugonjwa kama ipo. Maana nikikumbuka wakati nasoma Bios O level,tulikuwa tunachora picha za parasites wengi tu wanaoeleta magonjwa ikiwemo bacteria na virusi.
Natanguliza shukrani zenu. Natumaini mtanifumbua macho.
Week kadhaa zilizopita niliamua kujitoa mhanga na kwenda hospitali kupima HIV.
Nilienda kwenye vituo vya Angaza,maana nikitaka walau nipate na ushauri na maelezo tofauti tofauti kuhusu HIV.
Japo nilikuwa nadhani nina elimu ya kutosha juu ya ili gonjwa,lakini nikajikuta vitu vingi vinakuwa vipya kwangu.
Sasa kilichofanya niandike uzi huu ni pale yule mshauri alipotuelezea kuhusu watu ambao wanaweza kuwa wameambukizwa (au kuhisi wameambukizwa HIV) kwa bahati mbaya mfano aliyebakwa,aliyepata ajari n.k. Kwavile vijidudu vya HIV huweza kuonekana katika vipimo 3 months after maambukizi,so waliobakwa n.k ndani ya maaa 72 ya maambukizi huwa wanapewa vidonge flan ambavyo watavitumia kwa siku kadhaa na vidonge hivyo huweza kuwaondolea ilo tatizo.
Kiukweli hii taarifa ilikuwa ngeni kwangu na ikapelekea niwe na maswali mengi kichwani.
1. Huu ugonjwa hauna dawa,sasa hii ni nini??
2. Ukimeza hizi dawa,hawa HIV wanakufa au wanadhoofika tu??
(a) Kama wanakufa kwanini madaktari wasitumie formula hii hii ya hivyo vidonge ili kutuletea dawa kamili?
(b) Kama wanadhoofika tu,hiyo dawa inamsaada gani maana badae watarudi.
Ombi: Binafsi sio daktari,ila kupitia nyie madaktari naomba walau image ya huyo virus wa huu ugonjwa kama ipo. Maana nikikumbuka wakati nasoma Bios O level,tulikuwa tunachora picha za parasites wengi tu wanaoeleta magonjwa ikiwemo bacteria na virusi.
Natanguliza shukrani zenu. Natumaini mtanifumbua macho.