Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una dawa zile za 20k mpaka 25k zinakuza ndevu mi binafsi Sina ila nimekuzidi miaka to kadhaa mingi mbeleHeshima Yenu Wakubwa![emoji2321] Nije kwenye Mada Mimi ni kijana wa Miaka 21 now ,. sijui ni Tatizo ama zitachelewa kuota[emoji848] Sina ndevu! nazitaka kweli yan NIFANYE NINI?.
natanguliza Shukran kwa Bro's.
Ili upete unacho kitaka, rudi nyumbani ukachukue mavi ya kuku yale malaini kisha changanya na pilipili kichaa 10, maana ya hapo tukua vumbi la upupu changanya, kisha chukua myaa weka utomvu wa kutosha kisha ukisha koroga vizuri paka usoni na hakikisha unasungua ili dawa ikae uzuri. Itakuwasha kwa mbaaaali sana ila vumilia hadi dawa ikauke na kisha utakupata unacho kitafuta....😎😶Heshima Yenu Wakubwa![emoji2321] Nije kwenye Mada Mimi ni kijana wa Miaka 21 now ,. sijui ni Tatizo ama zitachelewa kuota[emoji848] Sina ndevu! nazitaka kweli yan NIFANYE NINI?.
natanguliza Shukran kwa Bro's.