Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,262
- 1,773
Heshima kwenu wadau.
Naandika kama mwakilishi wa vijana graduates tuloamua kuwa na firm ya kuzalisha maji ya kopo nje ya dar.
naomba kuuliza kwenu mahali panapotengenezwa chupa za maji mbali na kwa bakhresa. n pia kama kna mweny idea ya bei kwa chupa
Naandika kama mwakilishi wa vijana graduates tuloamua kuwa na firm ya kuzalisha maji ya kopo nje ya dar.
naomba kuuliza kwenu mahali panapotengenezwa chupa za maji mbali na kwa bakhresa. n pia kama kna mweny idea ya bei kwa chupa