Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Hello,
Naomba mnisaidie ambao mmeudhuria interview za utumishi.
Kwenye vyeti vya form four, six, chuo na Cha kuzaliwa natumia majina mawili tu (AMANI FOCUS)
Kwanye kitamburisho Cha mpiga kura uwa wanalazimisha ujiandikishe Kwa majina matatu. Sasa ukitumia kitambulisho Cha NIDA, au Cha mpiga kura chenye majina matatu Kuna shida?
Maana vyeti VYOTE majina Yako sawa, isipokuwa cha NIDA na Cha mpiga kura ambapo wanakusajiri Kwa majina matatu.
Hapo ukienda interview za utumishi,,,watakubali?
Msaada
Naomba mnisaidie ambao mmeudhuria interview za utumishi.
Kwenye vyeti vya form four, six, chuo na Cha kuzaliwa natumia majina mawili tu (AMANI FOCUS)
Kwanye kitamburisho Cha mpiga kura uwa wanalazimisha ujiandikishe Kwa majina matatu. Sasa ukitumia kitambulisho Cha NIDA, au Cha mpiga kura chenye majina matatu Kuna shida?
Maana vyeti VYOTE majina Yako sawa, isipokuwa cha NIDA na Cha mpiga kura ambapo wanakusajiri Kwa majina matatu.
Hapo ukienda interview za utumishi,,,watakubali?
Msaada