Hivi kwa biashara ya mayai ya jumla kodi inaweza kuja vipi?Nalipa kama hiyo kwa mwaka kutokana na record zangu za mauzo kwenye kitabu pia walifika kijiweni kwangu wakakagua wakaridhika na Iyo kodi
Nnachokushauri mkuu andika mauzo Yako yote kwenye kitabu itakusaidia Sana maana ukiandika barua ya kupunguziwa kodi kwamba biashara haiendi watataka kumbu kumbu zako za mauzo
Mi niliwahi kukadiriwa laki kwenye biashara ya Grocery! Ila nilifanya understatement ya hatari 😂😂😂😂 nilipewa Tips na wazoefu.ukisoma michango ya wanaJF unagundua wazi watu hawana elimu ya kodi, ila kama ilivyo kawaida yetu tunadhani tunajua kumbe ni kinyume. Jana nilikuwa ofisi za TRA nilienda kufanyiwa makadirio kwenye kibiashara changu kidogo. Muda nipo foleni nilishuhudia watu watatu wanalia. Wamekadiriwa kodi kubwa. Mimi naamini sivyo. Maafisa wa TRA wanakukadiria kodi kadri unavyojieleza. Ukienda kwake ukaropoka-ropoka kodi itakuwa kubwa. ni vizuri kama hujui mambo ya kodi, upate ushauri wa kitaalamu kabla hujaenda kuropoka na baadae kutoa machozi.
Cha msingi na kikubwa jitahidi kupata uelewa wa kodi, pitia kwenye website yao wameweka tax laws. Ukitaka interpretation, visit their offices.
Wewe ulitaja mtaji mkubwa. Ulitakiwa usivuke 300K kwa mtaji. Sababu kadri mtaji na matumizi yanavyokuwa makubwa maana yake wana assume mapato nayo yatakuwa nusu ya mtaji 😂😂😂! Ndio maana ulipowaambia laki 6 wakaishilia kukwambia upeleke laki 3 kwa mwaka au 250K topKwa nini nitoe hongo.? Hii ni nchi yetu sote. Tuwe fair. Kuna jamaa jirani anaduka kubwa sana analipa 80,000 kwa mwaka. Mimi nakamtaji ka kusave boom naambiwa 250,00 0. Shame on them.
Wanaangalia mtaji wako maan kuna mahali nilichapia kidogo mtaji chini ya milioni 4 kodi imerange 100k - 150kHivi kwa biashara ya mayai ya jumla kodi inaweza kuja vipi?
Unataka kua afisa kodi nenda kalipe ada pale chuo cha kodi elimu elimu as if tunataka wanafanyabiashara wawe watalaamu wa KodiElimu kwa mlipa kodi haijatolewa ni makusudi ili wawabane watu kulipa kwa kutokujua
Hauelewi usemachoUnataka kua afisa kodi nenda kalipe ada pale chuo cha kodi elimu elimu as if tunataka wanafanyabiashara wawe watalaamu wa Kodi
Ujaanza hata kuweka bidhaa dukani TRA tayari wanataka ulipe kodi, wakati nchi za wenzetu unapewa kati ya miezi 6 hadi mwaka ili walau biashara iwe na mtaji wa maana.Mimi nimeamua kuachana nayo. Soon nitaandika barua ya kusitisha biashara. 250,000 kwa mwaka ni kama 21,000 kwa mwezi. Hujalipa frem, umeme n.k sasa mi nafanyia kazi TRA.
Hafu kumbukumbu si mpaka uwe ulishaendesha biashara atleast kwa muda flani.
Acha uongo bwana!!hakuna utaratibu kama huo kwenye hesabu za biashara uingize na indirect expenses?ambazo hazihisiani na biashara moja kwa moja?!!umeme, rent, salaries&wages, telephone&internet sawa!!eti kula chakula, mafuta ya wewe kwenda kwenye biashara,?nayo uyaingize kwenye.matumizi ya biashara hakuna kitu kama hicho!!kulipa kodi kidogo kuna mambo mengi , , kuna tax avoidance, na tax evasion ndio wengi wanatumia chaka hizo kulipa kodi kidogo kwa kuwatumia wataalamu, hasa kwenye TAX AVOIDANCE.Wewe unadhania kila tumizi linaingizwa kwenye heaabu za biashara?!!Hapa nazungumzia rekodi ya mauzo na matumizi yako, hata chakula unachokula wakati wa biashara ni matumizi, unapolipa usafi, umeme ni matumizi kama una usafiri mafuta unayoweka ni matumizi au hata kama huna gharama za usafiri unaotumia ni matumizi, vocha za simu bando za internet ni matumizi kuna orodha ndefu sana za matumizi ambazo wengi hawaziweki wanafikiri ni matumizi yao binafsi kumbe wanatumia kwa ajili ya biashara ndio maana wahindi wanalipa kidogo sisi tunafikiri wanatumia rushwa.
Inaelekea unajadili kitu ambacho hukijui nahisi huwa unasimuliwaAcha uongo bwana!!hakuna utaratibu kama huo kwenye hesabu za biashara uingize na indirect expenses?ambazo hazihisiani na biashara moja kwa moja?!!umeme, rent, salaries&wages, telephone&internet sawa!!eti kula chakula, mafuta ya wewe kwenda kwenye biashara,?nayo uyaingize kwenye.matumizi ya biashara hakuna kitu kama hicho!!kulipa kodi kidogo kuna mambo mengi , , kuna tax avoidance, na tax evasion ndio wengi wanatumia chaka hizo kulipa kodi kidogo kwa kuwatumia wataalamu, hasa kwenye TAX AVOIDANCE.Wewe unadhania kila tumizi linaingizwa kwenye heaabu za biashara?!!
Kama ni gharama za usafiri lazima zihusiane na biashara moja, ie carriage in, na out!!
Allowable expenses vs Non allowable expenses.Hapa nazungumzia rekodi ya mauzo na matumizi yako, hata chakula unachokula wakati wa biashara ni matumizi, unapolipa usafi, umeme ni matumizi kama una usafiri mafuta unayoweka ni matumizi au hata kama huna gharama za usafiri unaotumia ni matumizi, vocha za simu bando za internet ni matumizi kuna orodha ndefu sana za matumizi ambazo wengi hawaziweki wanafikiri ni matumizi yao binafsi kumbe wanatumia kwa ajili ya biashara ndio maana wahindi wanalipa kidogo sisi tunafikiri wanatumia rushwa.
Huelewi kitu unachoongea wewe,jifunze khs Allowable expenses vs Non allowable expenses then rudi hapa ku discuss mada.Acha uongo bwana!!hakuna utaratibu kama huo kwenye hesabu za biashara uingize na indirect expenses?ambazo hazihisiani na biashara moja kwa moja?!!umeme, rent, salaries&wages, telephone&internet sawa!!eti kula chakula, mafuta ya wewe kwenda kwenye biashara,?nayo uyaingize kwenye.matumizi ya biashara hakuna kitu kama hicho!!kulipa kodi kidogo kuna mambo mengi , , kuna tax avoidance, na tax evasion ndio wengi wanatumia chaka hizo kulipa kodi kidogo kwa kuwatumia wataalamu, hasa kwenye TAX AVOIDANCE.Wewe unadhania kila tumizi linaingizwa kwenye heaabu za biashara?!!
Kama ni gharama za usafiri lazima zihusiane na biashara moja, ie carriage in, na out!!
Kuna elimu ya kodi wanatuficha.
Mtaji kuanzia 0- milioni 4 uwezi kukadiliwa kodi kwa kuanza ila utalipa malipo madogo kupata leseni isiyo kuwa na makadilio mpaka ikivuka malengo wakija kukagua kukuta umevuka mtaji uliowekwa.