007 De Souza
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 901
- 483
Gaspa ni mwizi ameniibia fedha zangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaspa ni mwizi,ameiba fedha zangu.
Makosa ktk sentesi yako
Mtu hawezi kukuiba kitu ambacho ni mali yako,
Huwezi kusema "Ameniibia fedha zangu" kiambishi "ni" katika "ameNIibia kimeshaua ulazima wa kuongeza neno "zangu" hivyo sentensi hiyo ina makosa katka ujenzi wa tungo yenyewe. Ungepaswa kusema;
I.Ameiba fedha zangu AU
2.Ameniibia fedha.
Katika sentensi 1, neno AMEIBA halina kiambishi cha urejeshi ndiyo sababu lipo neno ZANGU.
Katika sentensi 2 hakuna neno zangu kwa sababu ipo mofimu ya urejeshi "i".
ADA YA MASOMO LIPA KWA M-PESA