Msaada: Mama yangu ana shida ya mgongo

Msaada: Mama yangu ana shida ya mgongo

muhala.jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
746
Reaction score
655
Habari jf naomba kupata msaada wa Dr ambae anaweza kua anakuja home kumuangalia mgonjwa pia naomba ushauri kwa mwenye experience mama ni mgonjwa alianza kwa homa ya kawaida .

Badae akawa hawezi kutembea anasema mgongo kama unakaza tukampeleka hospitali tukaambiwa ni UTI imekomaa sana,wakamuandikia sindano cefriaxone tano 1000mg. IV lakini cha ajabu anamaliza sindano lakini bado mgongo anashida na hawezi hata kusimama bila msaada nawasilisha.
 
Pole Sana mkuu, hakika mama anaumiza sana akiugua.

Nenda kajaribu kumpima homa ya mifupa au malaria ya mifupa (kuna malaria ya kawaida, ya mifupa na ya tumbo. Pia kuna homa ya kawaida na homa ya mifupa). Hizi hua zina wakimbilia watu wazima pindi mifupa inapoanza kuchoka.

Mungu akusaidie umtibu bi mkubwa wako[emoji122]
 
Pole Sana mkuu, hakika mama anaumiza sana akiugua.

Nenda kajaribu kumpima homa ya mifupa au malaria ya mifupa (kuna malaria ya kawaida, ya mifupa na ya tumbo. Pia kuna homa ya kawaida na homa ya mifupa). Hizi hua zina wakimbilia watu wazima pindi mifupa inapoanza kuchoka.

Mungu akusaidie umtibu bi mkubwa wako[emoji122]
Ahsante mkuu.
 
Habari jf naomba kupata msaada wa Dr ambae anaweza kua anakuja home kumuangalia mgonjwa pia naomba ushauri kwa mwenye experience mama ni mgonjwa alianza kwa homa ya kawaida .

Badae akawa hawezi kutembea anasema mgongo kama unakaza tukampeleka hospitali tukaambiwa ni UTI imekomaa sana,wakamuandikia sindano cefriaxone tano 1000mg. IV lakini cha ajabu anamaliza sindano lakini bado mgongo anashida na hawezi hata kusimama bila msaada nawasilisha.

pole sana mkuu.
kuna products za kampuni inatwa BF SUMA ni nzuri sana kwa matatizo yote uliyoyataja hapo. UTI na MGONGO.
nicheck kwa 0657 317631 nikuelekeze jinsi ya kuzipata.
 
Habari jf naomba kupata msaada wa Dr ambae anaweza kua anakuja home kumuangalia mgonjwa pia naomba ushauri kwa mwenye experience mama ni mgonjwa alianza kwa homa ya kawaida .

Badae akawa hawezi kutembea anasema mgongo kama unakaza tukampeleka hospitali tukaambiwa ni UTI imekomaa sana,wakamuandikia sindano cefriaxone tano 1000mg. IV lakini cha ajabu anamaliza sindano lakini bado mgongo anashida na hawezi hata kusimama bila msaada nawasilisha.
Kuna kitu yaitwa
STEM CELL THERAPY
kwa bidhaa kama
. DOUBLE STEM CELL OR CRYSTAL CELL
+SNOWPHYLL

unapona kabisaaaaa Google alafu tupigie +255767831345
 
Back
Top Bottom