Msaada; Mama yangu hawezi kuzuia haja kabla hazijatoka

Msaada; Mama yangu hawezi kuzuia haja kabla hazijatoka

chief72

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
627
Reaction score
306
Ndugu zangu mama angu kapata kama stroke ila anatembea ingawa kwa shida, ila ana matatizo mawili, la kwanza kapoteza kumbukunbu, la pili ana shindwa ku sense pale anapohitaji kupata kujisaidia.

Hujikuta anashindwa kutambua kabla hali hiyo haijatokea

Je, nimfanyie kipimo gani kujua tatizo, au dawa gani could suit her pia which is the best hospital. Mimi niko mkoani nataka nimlete Dar es salaam naombeni msaada wenu wenye kujua hilo.
 
Pole kwa kuuguliwa,aende CCBRT wako vizuri sana..
 
Back
Top Bottom