Msaada: Mambo gani yatanisaidia kushinda katika kesi yangu?

Msaada: Mambo gani yatanisaidia kushinda katika kesi yangu?

Jackwillpower

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2017
Posts
2,467
Reaction score
3,687
Habari Wana JF, naombeni msaada wa kisheria.

Mwajiri wangu alinivunjia mkataba bila kunipa barua yoyote yakuniachisha kazi, nilipewa kesi ya wizi ambapo alinipeleka polisi, lakini hakupeleka kesi mahakamani, baada ya kutoka polisi nilienda kituo cha haki za binadamu, nikapewa form za CMA nakuzipeleka CMA na kesi imepangwa tarehe 17/9/2024.

Malalamiko yangu ni;

~ Hakunipa barua ya kuniachisha kazi na mkataba ulikuwa imebaki miezi 10

~ Hajaweka michango ya NSSF kwa miezi 9

Wanasheria naomba msaada wa hii kesi yangu ili nipate haki yangu, je ni angle zipi zitanisaidia kushinda hii kesi
 
Habari Wana JF, naombeni msaada wa kisheria.

Mwajiri wangu alinivunjia mkataba bila kunipa barua yoyote yakuniachisha kazi, nilipewa kesi ya wizi ambapo alinipeleka polisi, lakini hakupeleka kesi mahakamani, baada ya kutoka polisi nilienda kituo cha haki za binadamu, nikapewa form za CMA nakuzipeleka CMA na kesi imepangwa tarehe 17/9/2024.

Malalamiko yangu ni;

~ Hakunipa barua ya kuniachisha kazi na mkataba ulikuwa imebaki miezi 10

~ Hajaweka michango ya NSSF kwa miezi 9

Wanasheria naomba msaada wa hii kesi yangu ili nipate haki yangu, je ni angle zipi zitanisaidia kushinda hii kesi
Kwanza tujuwe,Mwajiri wako ni serekali au private!!?? Ili tujuwe tunakushauri vp!!
 
Amenivunjia bila barua ,
unalalamika kutokupewa barua ya Termination?au unalalamika sababu na taratibu za kutokuachishwa kazi hazikufuatwa?sababu kuna muda unakuta nyaraka zimeshaandaliwa ila unataka kuna chanagamoto ya mfanyakazi kuchukua nyaraka au mwajiri anakuwa hajatoa tu
 
Malalamiko yangu ni;

~ Hakunipa barua ya kuniachisha kazi na mkataba ulikuwa imebaki miezi 10
Shida ni barua tu?au pia utaratibu na sababu za kuachishwa kazi hazikufuatwa?
Malalamiko yangu ni;

~ Hajaweka michango ya NSSF kwa miezi 9
NSSF siy suala lako,wewe nenda katoe taarifa ofisi za NSSF wenyewe watamaliza kazi,alafu vitu vingine mbona mnamaliza katika Mediation stage,japo sijui nature ya Mwajiri wako,maana kama shida ni michango ya NSSF kama ulivyoeleza nafikiri ni vyema kufahau je ulikuwa unakatwa hela kwa ajili ya NSSF?au makubaliano yako na Mwajiri kuhusu NSSF yako vipi?
 
Habari Wana JF, naombeni msaada wa kisheria.

Mwajiri wangu alinivunjia mkataba bila kunipa barua yoyote yakuniachisha kazi, nilipewa kesi ya wizi ambapo alinipeleka polisi, lakini hakupeleka kesi mahakamani, baada ya kutoka polisi nilienda kituo cha haki za binadamu, nikapewa form za CMA nakuzipeleka CMA na kesi imepangwa tarehe 17/9/2024.

Malalamiko yangu ni;

~ Hakunipa barua ya kuniachisha kazi na mkataba ulikuwa imebaki miezi 10

~ Hajaweka michango ya NSSF kwa miezi 9

Wanasheria naomba msaada wa hii kesi yangu ili nipate haki yangu, je ni angle zipi zitanisaidia kushinda hii kesi
Mungu
 
Back
Top Bottom