EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Bro unaweka lita ngapi mizunguko yako kwa siku ni km Ngapi usilaumu gari.Ishu ni kumudu wese la mwezi😅
Mi nlikaa kibamba kazini Ubungo na lita 50 zilitosha kwa wiki plus mizunguko ya bia Tabata na Sinza 😎