Msaada: Mark II Grande inawasha taa ya mafuta haizimi

Weka fulltank
 
Weka lita30 itazima mkuu hio chuma yangu miaka 8 sasa box ya speakers 2 za nchi 12 each [emoji41][emoji41] ipo kwenye buti

Pamoja na kuziba namba tumezoom na kuzijua[emoji23][emoji23][emoji23] T66... BE...
Kwenye gap acha nisimalizie!!!
 
Pamoja na kuziba namba tumezoom na kuzijua[emoji23][emoji23][emoji23] T66... BE...
Kwenye gap acha nisimalizie!!!
T662 BEV kwani namuogopa nani mkuu coz chuma ipo road everyday
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…