EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Bro unaweka lita ngapi mizunguko yako kwa siku ni km Ngapi usilaumu gari.Ishu ni kumudu wese la mwezi😅
Weka fulltankSorry Nina mark II grande Juzi Kati iliwasha taa ya mafuta na nilikuwa nakaribia eneo lenye kituo cha mafuta nikapitia nikaweka mafuta lakini cha ajabu ile geji ya mafuta ikabaki palepale chini na taa ya mafuta ikaendelea kuwaka je hapo tatizo ni nini naombeni msaada
Natania mkuu, geji imejam peleka fundi aisafishe mafuta mengi yamechanganyikana na maji so yanaleta kutu kwwnye vyumaWeka fulltank
Tuiuze mkuu😎Weka lita30 itazima mkuu hio chuma yangu miaka 8 sasa box ya speakers 2 za nchi 12 each 😎😎
Duh lita 50 wiki, mm mwezi na zaidBro unaweka lita ngapi mizunguko yako kwa siku ni km Ngapi usilaumu gari.
Mi nlikaa kibamba kazini Ubungo na lita 50 zilitosha kwa wiki plus mizunguko ya bia Tabata na Sinza [emoji41]
Namba B hutanilipa 5M🤣🤣🤣Tuiuze mkuu😎
Namba B ni 3.5mil mkuu vp tuivutie mteja?😅Namba B hutanilipa 5M🤣🤣🤣
Unaendesha Terios CC 690 au labda to&fro ni 10 Km mi ilikuwa 50+ ukijumuisha mizunguko🤣🤣🤣Duh lita 50 wiki, mm mwezi na zaid
Weka lita30 itazima mkuu hio chuma yangu miaka 8 sasa box ya speakers 2 za nchi 12 each [emoji41][emoji41] ipo kwenye buti
T662 BEV kwani namuogopa nani mkuu coz chuma ipo road everydayPamoja na kuziba namba tumezoom na kuzijua[emoji23][emoji23][emoji23] T66... BE...
Kwenye gap acha nisimalizie!!!
mfuko ukiwa vzuri sio mbaya nikaanza nalo lifeWese sio tatizo usiogope vigari vya cc ndogo na starehe no ndogo pia hii chuma Kali ikichoka nauza afu nanunua nyingine Ila ni hii hii
Kama ni mtu wa kuchungulia wese sana, hilo gari hutaona raha yake.mfuko ukiwa vzuri sio mbaya nikaanza nalo life
Engine meweka kutoka Dubai mwezi wa4 kwa bei ya 1.3M bora ilale home ukitoa 4.5 natoa MZIKI nakuachia screen na equaliserNamba B ni 3.5mil mkuu vp tuivutie mteja?😅
Si unajua vijana ndio tunaanza life ...na bado majukumu mengi kwahyo lazma upige hesabu kali za budgetKama ni mtu wa kuchungulia wese sana, hilo gari hutaona raha yake.
We weka half tank, yakipungua unaongezea!!!
KabisaKama ni mtu wa kuchungulia wese sana, hilo gari hutaona raha yake.
We weka half tank, yakipungua unaongezea!!!
Anza na vitz au daihatsu au terios 😎Si unajua vijana ndio tunaanza life ...na bado majukumu mengi kwahyo lazma upige hesabu kali za budget
Kununua hilo gari wakati unaanza life na mshahara wa laki nane hutolifaidi. Utakuta nusu ya mshahara wako kwa mwezi unaumalizia hukoSi unajua vijana ndio tunaanza life ...na bado majukumu mengi kwahyo lazma upige hesabu kali za budget