Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Ila unapesa Ile mbayaMkuu una uzoefu wa kulima mpunga ?? Mimi naona mpunga una kazi kulima kuliko mazao mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila unapesa Ile mbayaMkuu una uzoefu wa kulima mpunga ?? Mimi naona mpunga una kazi kulima kuliko mazao mengine
Na vipi wanalipa vizuri tu?Ligoma, LIgera-Namtumbo..Pia waweza nunua mbolea nakukopesha, mfuko mmoja waweza pata gunia moja mpaka mbili baada ya mavuno vile vile mashamba yapo
Ni kweli, lakini kazi ipo mkuu , na unahitaji maji ya kutoshaIla unapesa Ile mbaya
0682475620Weka mawasiliano.
Aaaah, hapo sawa mkuu! Hongera kwa kujikita kwenye Kilimo!Kulikuwa na vitu vingi vilivyochangia nisiende kulima ufuta pamoja na kulikuwa migogoro ya ardhi na watu wa hifadhi ila kubwa zaidi nilikuwa nayatengeneza mashamba yangu ya mikorosho kwasababu ndilo zao ninaloliamini kuliko yote hapa Tanzania kwahiyo hata hiyo pesa niliyokaipata nilienda kununua mashamba ya mikorosho tandahimba
Huko koote ubabaifu tu kilimo cha mpunga kipo mbarali mkoa wa mbeya,,saivi kukodi ekari moja 400k Hadi 500k na ukitaka kununua ekari moja milioni 2.5 Hadi 3 wakina masanja wanasumbua dar kwa ajili ya mipunga ya mbarali..kama unataka kilimo cha biashara nenda mbaraliNaomba kuuliza wana JamiiForums,
Hivi ni maeneo gani mpaka sasa kwa mikoa inayolima Mpunga kwa mfano Songea ni Maeneo yapi mashamba ya mpunga bado yanakodishwa au kuuzwa kwa bei ya chini?
Unauziwa jumla na mkataba wa mauziano unpewa na Kijiji,
Mimi ni mkazi wa newala mkoani mtwara huko sijawahi kufanya harakati zaidi ya kupita barabarani tu
Kwa kusini recommended places ni wilaya ya Tunduru wanalima mpunga nadhani skimu watakuwa wameanza kujengewa,Ndanda pale kuna skimu,mkungu mahiwa mpaka Nyangao kuna skimu na kuna sehemu Rutamba maji na wanamwagilia piaNaomba kuuliza wana JamiiForums,
Hivi ni maeneo gani mpaka sasa kwa mikoa inayolima Mpunga kwa mfano Songea ni Maeneo yapi mashamba ya mpunga bado yanakodishwa au kuuzwa kwa bei ya chini?
KAKA KWEMA NATAKA NIKUFATE TANDAIMBA,NIPO DARKulikuwa na vitu vingi vilivyochangia nisiende kulima ufuta pamoja na kulikuwa migogoro ya ardhi na watu wa hifadhi ila kubwa zaidi nilikuwa nayatengeneza mashamba yangu ya mikorosho kwasababu ndilo zao ninaloliamini kuliko yote hapa Tanzania kwahiyo hata hiyo pesa niliyokaipata nilienda kununua mashamba ya mikorosho tandahimba
Ok karibu sana sisterKAKA KWEMA NATAKA NIKUFATE TANDAIMBA,NIPO DAR
Maeneo Gani mkuu? Na Hilo pori uspolilima ndani ya muda gan linarudishwa kwa kijijiUnauziwa jumla na mkataba wa mauziano unpewa na Kijiji,
Umewahi kufika tandahimba?KAKA KWEMA NATAKA NIKUFATE TANDAIMBA,NIPO DAR
kaka bado,njia ya kusini nimeishia ndanda tuuUmewahi kufika tandahimba?
Sio mbali na tandahimba kutoka hapo ndandakaka bado,njia ya kusini nimeishia ndanda tuu
nataka nikutumie namba yangu inbox sikupati kwenye pm naomba unitext inboxSio mbali na tandahimba kutoka hapo ndanda
thanks nakucheki soon0687001945