Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
Chukua
Pilipili hoho robo,
Pilipili boga 2
Pilipili manga kijiko kimoja.
Tanga wizi kidogo, saga na embe mbichi 2 zile kubwa, kunywa vijiko viwili kwa siku, japake kijiko kimoja kabla ya kulala.
Dawa hii ni kurudisha hali ya kawaida na kuwa I mara, muda wa siku 3
Wasiwasi wanini mkuu, punguza!Mkuu soma vizuri,nikiwa na mtoto hata tukitembea barabarani mashine inajisimamia tu bila taarifa,inshu ni kwamba sometimes inanywea sana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]1 Acha nyeto
2 Acha kabisa kutumia sigara kali
Dawa zingine natakiwa nimpe uyo Dada uliye mtoa bikra fanya unitumie pm # yake
Lami ya kwetu tena (Tabora) ndiyo kitu gani tena.Kuna nyingine imekuja io unajua inaitwaje?
kitu LAMI YA TABORA
NitaijaribuKuna nyingine imekuja io unajua inaitwaje?
kitu LAMI YA TABORA
Unaweza ila tumia vijiko viwili vikubwa mara 2 kwa siku, na kimoja jipake us oniHuu mchanganyiko siwezi kuutumia nikaokota nyumba mkuu?