wana jf poleni sana kwa uchovu naombeni mnijuze kuhusu hii masters in anatomy. Nilisoma bachelor of nursing ila ktk pita pita zangu mitandaoni niliona chuo kinachoitwa IMTU kinatoa masters in anatomy kwa wale waliosoma bachelor of science in nursing BSCN pamoja na MD na wale wenye bachelor ya dental surgery, so naombeni mnipe umuhimu wa kusoma hii na maslai yake hapo badae na upatikanaji wake wa ajira ukovip? Msaada tafadhali!