Habari zenu wanaJf.
Kuna binti aliumwa na tumbo kwa muda, baada ya masaa kadhaa akaaza kuharisha uku tumbo likimuuma sana badae akatapika mara moja.
Ila tumbo likaendelea kumuuma.
Ila tumbo limeacha kuuma tatizo ana anasikia kitu kama kinacheza au kuvuta na kuacha chini ya kitovu ila tumbo alimuumi.
Je atakua na tatizo gani?
Kuna binti aliumwa na tumbo kwa muda, baada ya masaa kadhaa akaaza kuharisha uku tumbo likimuuma sana badae akatapika mara moja.
Ila tumbo likaendelea kumuuma.
Ila tumbo limeacha kuuma tatizo ana anasikia kitu kama kinacheza au kuvuta na kuacha chini ya kitovu ila tumbo alimuumi.
Je atakua na tatizo gani?