Berlin stom
Member
- Aug 4, 2023
- 34
- 21
dawa ya rungu tena jamanZipulizie dawa ya Rungu inaua wadudu wanaoruka na kutambaa chap
iyo njia nxhajalibu nataman nipat ya kienyej kwa anae fahamPiga poda ya watoto ya kutosha
Tumia mafuta ya nazi, hao fango wanatokaMpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Wewe Korodani zako umewahi kuzipulizia na Rungu?Zipulizie dawa ya Rungu inaua wadudu wanaoruka na kutambaa chap
Jibu hili litakua moja wapo...Maji unayooga yatakua na FANGASI, BACTERIA n..k, kama ni ya kisima. Hama huko nenda penye maji ya bomba.
Bila kusahau akichemsha na yeye aingie kwenye sufuria au punbu aziingize humo ni sehemu ya dawakuna mwana hapo juu kasema uwe unachemsha maji ya kuoga bila kusahau uwe unafua CHUPI kila mara...
Mkuu, pole sana.Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Vyote kwa pamoja mpe dawaMkuu, pole sana.
Nilikiri sijakuelewa. Maana kuna maumivu aina mbili. Kuna ngozi ya korodani na korodani zenyewe.
Je, unachoumwa wewe ni nini? Korodani kuuma kwa ndani ama ngozi yake kuuma kwa nje?
Nipo kusubiri.
Umesikia wapi papuchi ikawa na korodani😂😂Wewe Korodani zako umewahi kuzipulizia na Rungu?
Itakua labda yake in KorodaniUmesikia wapi papuchi ikawa na korodani😂😂
Papuchi yake inapigwa rungu sasa sijui kamaanisha nini kumwambia mwanaume apigwe rungu😂😂Itakua labda yake in Korodani
Wewe Korodani zako umewahi kuzipiga poda za kutosha?Piga poda ya watoto ya kutosha
😂😂😂 Ngoja aje kujibu swali languPapuchi yake inapigwa rungu sasa sijui kamaanisha nini kumwambia mwanaume apigwe rungu😂😂
dawa ya rungu tena jaman