Msaada matibabu ya korodani kuuma

Msaada matibabu ya korodani kuuma

Berlin stom

Member
Joined
Aug 4, 2023
Posts
34
Reaction score
21
Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
 
Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Tumia mafuta ya nazi, hao fango wanatoka
 
Hiyo ni PUMBU JERO

Maji unayooga yatakua na FANGASI, BACTERIA n..k, kama ni ya kisima. Hama huko nenda penye maji ya bomba.

Kama huwezi hama, chemsha maji ya kuoga yawe moto kabisa kama ugali, acha yapoe yawe vuguvugu then oga

Na UFUE BOKSA/ CHUPI/ KAPTULA unayovaa ndani
 
Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Mkuu, pole sana.

Nikiri sijakuelewa. Maana kuna maumivu aina mbili. Kuna ngozi ya korodani na korodani zenyewe.

Je, unachoumwa wewe ni nini? Korodani kuuma kwa ndani ama ngozi yake kuuma kwa nje?

Nipo kusubiri.
 
Mkuu, pole sana.

Nilikiri sijakuelewa. Maana kuna maumivu aina mbili. Kuna ngozi ya korodani na korodani zenyewe.

Je, unachoumwa wewe ni nini? Korodani kuuma kwa ndani ama ngozi yake kuuma kwa nje?

Nipo kusubiri.
Vyote kwa pamoja mpe dawa
 
Back
Top Bottom