Chariton003
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 333
- 905
Hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahahaha.....! Nimecheka kwa sauti kuu! Mwanangu pia kaniunga mkono kucheka japo hajui hata nacheka nini! Haki umenichekesha sana!Umesikia wapi papuchi ikawa na korodani😂😂
Wewe Korodani zako umewahi kuzipulizia na Rungu?
Wellusengo?Si nayo ni dawa [emoji12]
Aaha kwa hio sio za kwako? Ila na wewe unazo za kwako?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Za bwana angu nilizipulizia miwasho ikamuisha
Umesikia wapi papuchi ikawa na korodani[emoji23][emoji23]
Papuchi yake inapigwa rungu sasa sijui kamaanisha nini kumwambia mwanaume apigwe rungu[emoji23][emoji23]
Itakua labda yake in Korodani
Aaha kwa hio sio za kwako? Ila na wewe unazo za kwako?
Umezibabe unazipulizia na Rungu 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ninazo afu kubwa kubwa
Umezibabe unazipulizia na Rungu [emoji23]
ok[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe acha mwenzio atumie dawa niliyomshauri kwanza
Nenda ukamsaidie kupulizia basi maana unaonekana mzoefu wa kupulizia Rungu kwenye Korodani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe acha mwenzio atumie dawa niliyomshauri kwanza
Ngozi yake kwa nje inachoma kaka atar mno nateseka sana na ni mtda mrefu sanaMkuu, pole sana.
Nilikiri sijakuelewa. Maana kuna maumivu aina mbili. Kuna ngozi ya korodani na korodani zenyewe.
Je, unachoumwa wewe ni nini? Korodani kuuma kwa ndani ama ngozi yake kuuma kwa nje?
Nipo kusubiri.
🤣🤣🤣 MweeBila kusahau akichemsha na yeye aingie kwenye sufuria au punbu aziingize humo ni sehemu ya dawa
Ushatumia na candederm mkuu?Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Tayal kakaUshatumia na candederm mkuu?
Upupu je?Tayal kaka