Msaada matibabu ya korodani kuuma

Msaada matibabu ya korodani kuuma

Mkuu, pole sana.

Nilikiri sijakuelewa. Maana kuna maumivu aina mbili. Kuna ngozi ya korodani na korodani zenyewe.

Je, unachoumwa wewe ni nini? Korodani kuuma kwa ndani ama ngozi yake kuuma kwa nje?

Nipo kusubiri.
Ngozi yake kwa nje inachoma kaka atar mno nateseka sana na ni mtda mrefu sana
 
Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Ushatumia na candederm mkuu?
 
Back
Top Bottom