Msaada matibabu ya korodani kuuma

Msaada matibabu ya korodani kuuma

Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Herbalist Dr MziziMkavu
 
Mpak sasa xijui nianzie wap ni ixhie wap korodan zang zina sumbua nisha 2mia idad kubw ya madaw ya hospital mpak nikitoa jasho ni dawa tu nikitembea korodan zinachoma yaan burning pale napo amka asubuh ngoz ya korodan inapopata ubarid ngozi inajikusanya inachoma dawa nime2mia za fangasi za alegy chache cream kama zote ila korodan hazionyesh kama kuna chochot wala alam hakun panawasha kiax panakata ila kuchoma ni kl muda uti sina ukwmw sida dam hain shida mkojo pia upo saw sijui tatizo msaada wanandugu msaada
Amia kwenye tiba asili Kuna mizizi ya miti fulani ivi ukichemsha inaweza kumaliza tatizo,kama upo seriously unataka kupona nicheck DM
 
mwone daktar wa ngozi isije kuishia kuwa FOURNIER GANGRENE igoogle uone mautundu yake kwenye ngozi ya pumbu
mungu aniepushe bro uo ugonjwa kama ningekuw nao ungekuw ushaonekana maan namuda sasa shidaa hii
 
Upigaji wa punyeto kwa muda mrefu imekuwa ikileta dalili kama hii.. jaribu kulitazama hili
 
Back
Top Bottom