Msaada matibabu ya uric acid

Msaada matibabu ya uric acid

tiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2015
Posts
441
Reaction score
259
Habari wapendwa humu, naomba msaada wa anaejua matibabu ya kupona kabisa uric acid ikiwa juu wilini, ninatatizo hilo mara kwa mara napima nakuta iko juu napewa dawa ya aloplunol inanisaidia kwa wakati huo lkn siponi kabisa, na nakuwa namaliza dose, nifanyeje nateseka kweli nikifika sehemu za baridi nakuwa kama naungua moto kipindi cha baridi ndo usiseme
 
Uric acid inassbabishwa na vyakula tunavyokula kam mdau alivyosema hapo juu upunguze nyama na ulabu na kwa kuongeza wacha kabisa kula njegere choroko na vitu vya mafuta kula sana greens utaona mabadiliko
 
Back
Top Bottom