Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Wakuu habari.
Jana mchana vodacom walinitumia ujumbe huu
MUHIMU!! Ndg wakala, LITE TILL unayotumia itafungwa leo 1/4/2019 na hutaweza kuitumia tena, Ondoa salio lako na commission yako kuepuka usumbufu. Asante.
Walipopigiwa voda walisema ni tatizo la mtandao na kwamba wamewatumia wengi ujumbe huo.
Jion kweli TILL imefungwa.
Kwa wazoefu naomba kujua tatizo hili chanzo chake ni nini? na suluhisho lake inatakiwa nifanye nini?
Wema ni akiba.
Jana mchana vodacom walinitumia ujumbe huu
MUHIMU!! Ndg wakala, LITE TILL unayotumia itafungwa leo 1/4/2019 na hutaweza kuitumia tena, Ondoa salio lako na commission yako kuepuka usumbufu. Asante.
Walipopigiwa voda walisema ni tatizo la mtandao na kwamba wamewatumia wengi ujumbe huo.
Jion kweli TILL imefungwa.
Kwa wazoefu naomba kujua tatizo hili chanzo chake ni nini? na suluhisho lake inatakiwa nifanye nini?
Wema ni akiba.