Wakubwa habar nimekuwa nikisumbuliwa na kaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto na korodani ya kushoto kwa takribani miez 3 tokd mwez 10 mwaka jana nilienda hospt nkaambiwa mkojo mchafu@uti nimetumia doz kibao pamoja na kuchoma pawe safe lakin bado hali ni tete msaada kwa wale wenye ufahamu na hili tatizo