Msaada: Maumivu chini ya kitovu

Wakubwa nashkuru kwa ushaur wenu naufanyia kaz
 

Hiyo ni ngiri mkuu.yani hapo nenda hospitali nyingine wataalamu wapo wengi me mwenyewe nilikua nasumbuliwa na hilo tatizo na nikatibiwa nikapona mpaka sasa.pia zipo dawa za kienyeji zinazotibu hilo tatizo.
 
Wadau hiki kipimo kinachoitwa URINE MICROSCOPY kinapima nini na nini .msaada wadau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…