mselambaya
Senior Member
- Jan 10, 2017
- 106
- 77
Sijawai kufanya ultra sound wala sijawai kufanyiwa upasuajiMkuu umewahi Fanya ultra sound kujua kuna shida Gani?
Au una historia yoyote ya kufanyiwa upasuaji before?
MeMe/Ke ili nishare experience.
Shukrani mkuu ntafanya hivyo,je hicho kipimo kinapatikana hospitali yoyote au?Fanya kipimo hiki ili ujue nini kinakusumbua,......................
oesophagogastroduodenoscopy (OGD)
ShukraniSio zote, kinapatikana hospitali chache za rufaa na uhakika hospitali za kanda na National hospital.
Shukrani mkuuMkuu pole sana ila jarbu kuchunguza mshipa wa ngiri (Chango). Mimi nilikuwa na tatzo kama lako yaani nilikuwa nikiugua tumbo ni wiki 2 ndo linakata na likitulia ni mwezi au miezi miwili hali inarudia, Nilizungua sana hospital lakini wapi ila kaja kunitibu mtu ambae hata sikudhania kwa miti shamba na sasa nilishapona japo hali hutokea pale tu napokumbana na baridi kali. Hivyo bora ucheki hilo.