mselambaya
Senior Member
- Jan 10, 2017
- 106
- 77
Habari zenu wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 nasumbuliwa na maumivu makali sana tumboni hasa wakati wa usiku mwaka wa saba huu maumivu haya huwa kwa kipindi fulani alafu yanapotea ila safari hii tokea yamekuja yamekaa kwa muda mrefu sana inaelekea mwezi wa tisa huu sipati usingizi yananitesa sana usiku nilienda nikapima nikakutwa nina taifod,uti na minyoo nikapewa dawa lakini maumivu yako palepale.hivyo basi nitafurai sana ushauri wa kuweza kunisaidia kupona maradhi haya.