Msaada: Maumivu ya mgongo na nguvu za kiume

lizy lizy

Member
Joined
Aug 29, 2019
Posts
32
Reaction score
19
Ndugu zangu, yapata miezi 5 sasa nasumbuliwa na tatizo la kuumwa sana kwa mgongo ( kwenye maungio kati ya uti wa mgongo na nyonga) chakushangaza nikiwa na hayo maumivu, mashine inakua ya baridi mnoo na nikiwa kwa bed na shemeji yenu baada ya round ya kwanza nachelewa sana kurudia yaweza kuchukua hata masaa 3.

Ila nikitumia pain killer yoyote ya mgongo mashine inarudi kwenye hali yake na nakua fresh tu. Hii hali inanichanganya sana naomba kwa mwenye kujua hili tatizo anisaidie.

Nawasilisha
 
kapime uti wa mgongo, huenda kuna disc inatatizo
 


Mkuu nenda hospitali kucheki huenda kuna shida katika mafigo.-- lakini nenda kucheki kwanza.
 
Mkuu wahi hospital haraka usijekuza tatizo dogo likawa kubwa
 
thanx sana wakuu kwa msaada, ila wakuu hv unaweza kutoka from no where tu ukaenda moja kwa moja muhimbili au lazima uanze hospital ndogo kwanza, coz cjawahi kwenda muhimbili hata cku moja
 

 
Pole sana...

Jaribu kupima na kisukari, kujihakikisha ukiachilia mbali na maumivu ya mgongo...


Cc: mahondaw
 
c

chek tezi dume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…