Nenda hospitli... inaweza ikawa UTIHabari zenu wanaJF!
Nimekuwa msomaji wa topic za wengine kila mara na mimi leo nimekuja kuomba ushauri!
Kuna mchepuko nilichepuka nao baada ya siku tatu kupita nimepata tatizo la kupata maumivu ya mkojo(mwishoni).
Je hili litakuwa ni tatizo gani lakini tulitumia kondom .
WanaJF naomba ushauri na tiba yake!
Madhara ya kuendekeza ngono zembe ndiyo hayo,umeishaikwaa kaswende.
Ujitahidi kwa siku uwe unakunywa maji angalau lita 3....tatizo hilo litakwisha kabisa,nitafanya ivo!