Msaada: Maumivu ya mkojo

Msaada: Maumivu ya mkojo

Avelina

Member
Joined
Sep 5, 2013
Posts
70
Reaction score
11
Habari zenu wanaJF!

Nimekuwa msomaji wa topic za wengine kila mara na mimi leo nimekuja kuomba ushauri!

Kuna mchepuko nilichepuka nao baada ya siku tatu kupita nimepata tatizo la kupata maumivu ya mkojo(mwishoni).

Je hili litakuwa ni tatizo gani lakini tulitumia kondom .

WanaJF naomba ushauri na tiba yake!
 
Njoo na huyo uliyechepuka naye tuwape ushauri kwa pamoja.
 
Habari zenu wanaJF!

Nimekuwa msomaji wa topic za wengine kila mara na mimi leo nimekuja kuomba ushauri!

Kuna mchepuko nilichepuka nao baada ya siku tatu kupita nimepata tatizo la kupata maumivu ya mkojo(mwishoni).

Je hili litakuwa ni tatizo gani lakini tulitumia kondom .

WanaJF naomba ushauri na tiba yake!
Nenda hospitli... inaweza ikawa UTI
 
Madhara ya kuendekeza ngono zembe ndiyo hayo,umeishaikwaa kaswende.
 
Nenda Hospital, kama waona aibu nenda ya mbali usiyofahamika.
 
Back
Top Bottom