Msaada: Maumivu ya tezi na kiuno

Msaada: Maumivu ya tezi na kiuno

MPEPE

Senior Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
155
Reaction score
65
Naomba msaada wa tiba na kinga juu ya tatizo hili,huwa tezi zinaniuma na kiuno maeneo ya nyuma na karibu na tezi. Umri wangu ni miaka 24, jinsia ni ME...huwa si'sex mara kwa mara lakini nipo active.nimeongeza hayo maelezo kama bank yatakapohitajika.MSAADA WATALAAMU
 
Back
Top Bottom