malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habar wakuu msaada wenu nna maumivu makali sana sehemu ya chini zinapoanzia mbavu kuja nyuma katika mgongo nahis usawa wa figo...maumivu makali yakuja nakupotea nikinywa maji mengiii maumivu yanapotea
Kinywa maji labda lita4 nkianza kukojoa weee mpaka mkojo uishe baadae ntaanza his maumivu yanaanza upya
Kinywa maji labda lita4 nkianza kukojoa weee mpaka mkojo uishe baadae ntaanza his maumivu yanaanza upya