Bi nyakomba
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 385
- 104
Habari wanajamvi,
Nilifiwa mtoto tarehe 22.4.2015, akiwa na miezi 8. Nimeishi kwa majonzi mno mpaka watu wakaniambia naweza kosa mtoto tena.
Je, ni kweli kwamba ukiwaza sana unakosa mtoto?
Nilifiwa mtoto tarehe 22.4.2015, akiwa na miezi 8. Nimeishi kwa majonzi mno mpaka watu wakaniambia naweza kosa mtoto tena.
Je, ni kweli kwamba ukiwaza sana unakosa mtoto?