Msaada:mayai v uzito

tricecriss

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
225
Reaction score
59
Kuna connction gani kati ya uzito na ulaji wa mayai?maana nimekuwa na uzito wa ajabu na nilipouliza nini sababu nikaulizwa kama nakula sana mayai,na nikaambiwa kuwa ndio sababu ya kuongezeka kwa uzito,swali ni kwamba ni kweli mayai yanaongeza uzito na nifanyaje ili upungue?
 
Fanya mazoezi ya kuukomaza mwili mbona uzito utapungua tuu

Kama huyu jamaa hapa chn
 

Attachments

  • 1390590773441.jpg
    33.5 KB · Views: 81
Labda haya mayai ya plasti ya kisasa sio mazuri.Baadhi ya wataalamu wana suggest kula mayai kwani yana boost metabolism.Mayai yana asilimia kubwa ya mafuta ambayo ni mazuri( monosaturated) kuliko yale yasiyotakiwa mwilini unsaturated fat. Hata hivyo watu wengine wanashairi kula ile sehemu nyeupe na kuacha kiini.
kwa msaada zaidi unaweza google.Na pia fuata ushauri wa mazoezi, punguza sukari, acha soda na vyakula vya kiwandani tumia zaidi vyakula nechuro kama ugali wa donana viazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…