Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu,nimeaply tcu,nmeomba mbeya university bachelor of busnes admin,sasa naomba mwenye uzoef na hcho chuo anisaidie kunieleza quality ya hyo BBA ya must,pamoja na mazingira ya chuo hicho wadau
Wakuu,nimeaply tcu,nmeomba mbeya university bachelor of busnes admin,sasa naomba mwenye uzoef na hcho chuo anisaidie kunieleza quality ya hyo BBA ya must,pamoja na mazingira ya chuo hicho wadau
kiukweli must co chuo kizur kwa kozi za biashara, hta jna lake linamaanisha, it's abt engeneering technology! Biashara mzumbe, ifm ,muccobs, udbs, udom, and institute of accountancy(arusha) just ushaurii
Bachelor of science in Business Administration
Mazingira ya chuo yapo vizuri.
mazingira interms of what? majengo, hali ya hewa, malazi, chakula or what, please specify!
Okay,ujue kna coz unaxoma then mwisho ukja kwny compettion ya ajira unakua poor,ndo maana nkaulza abt quality
Kusoma na ajira na vitu viwili tofauti.
Piga book fanya vizuri, kazi zipo ndugu.
Xax ugum unakuja kwny hvo vyuo vnahtaj uwe na pass ya math o-level,an nli score f..dats why nmeshndwa kuviomba na mm napenda kuxoma BBA,ila vyuo navoeza kuxoma bba bila pass ya math ni CBE(Dar&Dom),TIA(Dar)
kma hvyo fresh! fanya k2 roho inapendaa! Umehtmu 6 dis year nn
Wakuu,nimeaply tcu,nmeomba mbeya university bachelor of busnes admin,sasa naomba mwenye uzoef na hcho chuo anisaidie kunieleza quality ya hyo BBA ya must,pamoja na mazingira ya chuo hicho wadau
Thanx,ujue kna time tcu hua wanatoa kwa ajir kubadil kama mtu anataka kuchange facult,ila thanx kwa ushaur wko,kkubwa ntakomaa xana tu kma ntapata chanceUshauri utakaopewa hautakusaidia kwa sababu tayari umekwisha jaza form. Kwa nini usiombe ushauri kabla ?.
By the way, chuo chochote utakachopangiwa hakikisha unasoma na unakua vizuri kichwani coz waajiri wanaangalia ulichonacho kichwani mwako na sio umesoma wapi.