Msaada: Mbinu hii itawezekana vipi kwenye kilimo changu?

nitatoboa kweli

Senior Member
Joined
Jul 15, 2023
Posts
137
Reaction score
454
Wakuu, nimenunua shamba milimani huko, shida yake hili shamba ni maji, ukitaka kulima mazao lazima usubirie msimu wamvua.

Sasa nataka nilipande mazao ya muda mrefu ambayo yanahitaji kumwagilia kwamiezi kadhaa, bondeni ya hili shamba kuna maji mengi tu.

Je, itawezekana kutumia mbinu gani niweze kuyapandisha juu kwa kutumia rola na umbali wakutoka juu shambani hadi huko bondeni nikama rola kumi hivi.

Wataalamu wa kilimo na maji naombeni majibu ili nijue nafanyaje.
 
Usifanye kosa unaponunua shamba.
Mimi nimefanya kosa moja napo nunua shamba.
Umbali kutoka barabara kuu ni km40 . Mto unapita hapo, hapo. Kama gharama za kuvuta maji ni kubwa panda miti ya mbao tafuta la bondeni.
 
Your browser is not able to display this video.
 

Fanya hesabu, kati ya utaratibu wa kutumia rola na kununua mota ya kutumia solar. Kipi kitakuwa nafuu kukufanyia kazi kwa eneo husika.

Pia unaweza kuangalia uwezekano wa mimea inayostahimili ukame.
 
Kumwagilia mlimani ni ngumu mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…