For the sake ya kubishana/ kuelimishana?
Nyama ya kuchoma ni mboga?
Pia kumbuka kun akiingereza cha wale wenyewe wandani, na kuna international English isiyo na mwenyewe, kiswahili nacho ni hivyo hivyo kinapopanuka kinawaacha wale wenyewe na kuwa lugha ya kimataifa, yani kinapita tamaduni tofauti, lazima kusiwe na 'muafaka' sometimes.
Kuna maneno mengi sana 'waingereza' wenyewe hawajui kama ni ya kiingereza, wala hayako kwenye maisha yao, japo utayakuta kwenye kamusi.
Kwa hio kusema kiswahili ni lugha dhaifu, si kweli hata kidogo, bali uelewa/ ufahamu wa mtu mara nyingi ndio unakuwa dhaifu.
wataalamu wa lugha, sio sisi wapitanjia wanakiona kiswahili ni kugha yenye uwezo mkubwa sana, na inauwezo wa kuvuka tamaduni na kutumika kokote, yani ina uwezo wa kukua, na kutosheleza kila inapotaka kutumika.
Tatizo kubwa ni sie KUAMUA kuienzi.