Msaada mchwa wamekuwa tatizo

Msaada mchwa wamekuwa tatizo

Umeanza mambo yako.
Hiyo ni "hidden science" hawakupewa ila wachache sana na kwa uchache sana. Nafahamu, kwa upeo wako huwezi kunielewa mpaka uwe umekisoma kisa Cha Nabii Suleiman na kukielewa.
 
Hiyo ni "hidden science" hawakupewa ila wachache sana na kwa uchache sana. Nafahamu, kwa upeo wako huwezi kunielewa mpaka uwe umekisoma kisa Cha Nabii Suleiman na kukielewa.
Tupe darasa kidogo dada nami nina changamoto iyo kwangu
 
Tupe darasa kidogo dada nami nina changamoto iyo kwangu
Ongea nao tu, wataondoka. Pia unaweza kuwa uanwafukiza kwa ubani mara kwa mara.


Unajuwa siri hata ya Makanisani kufukiza ubani? Hususan kanisa katoliki? Ni simple kabisa, haina maana yoyote kiimani, kwanza ni manukato, pili ni fumigation, wadudu wengi hawapatani na harufu ya ubani, ni zoezi lililokuwa likifanyika kukimbiza wadudu.

Hata Waislam walikuwa wakikaa kwenye visomo vyao wanafukiza ubani ili kukimbiza wadudu, na kuwe na harufu nzuri. Majama wengine walipoona wakaona ni ibada ndipo ikashika mpaka leo, lakini ukweli ni kuwa hakuna ibada yoyote ya kufukiza ubani zaidi ya kukimbiza wadudu na kupata harufu nzuri. Iwe msikitini iwe kanisani iwe majumbani.

Mie huwa nafukiza ubani nauchanganya na udi nanyunyizia na banagi kwa mbaaaali, ooh, harufu ya kipekee na wadudu hata mbu hakai.

Fanya hivyo. Lakini usiniige mimi kutumia bangi, usije ukashikwa Tanzania huko. Huku nilipo bangi kidogo ni rukhsa.
 
Ongea nao tu, wataondoka. Pia unaweza kuwa uanwafukiza kwa ubani mara kwa mara.


Unajuwa siri hata ya Makanisani kufukiza ubani? Hususan kanisa katoliki? Ni simple kabisa, haina maana yoyote kiimani, kwanza ni manukato, pili nifuumigation, wadudu wengi hawapatani na harufu ya ubani, ni zoezi lililokuwa likifanyika kukimbiza wadudu.

Hata Waislam walikuwa wakikaa kwenye visomo vyao wanafukiza ubani ili kukimbiza wadudu, na kuwe na harufu nzuri. Majama wengine walipoona wakaona ni ibada ndipo ikashika mpaka leo, lakini ukweli ni kuwa hakuna ibada yoyote ya kufukiza ubani zaidi ya kukimbiza wadudu na kupata harufu nzuri. Iwe msikitini iwe kanisani iwe majumbani.

Mie huwa nafukiza ubani nauchanganya na udi nanyunyizia na banagi kwa mbaaaali, ooh, harufu ya kipekee na wadudu hata mbu hakai.

Fanya hivyo. Lakini usiniige mimi kutumia bangi, usije ukashikwa Tanzania huko. Huku nilipo bangi kidogo ni rukhsa.
Asante sana. Naifanyia kazi hii
 
Ongea nao tu, wataondoka. Pia unaweza kuwa uanwafukiza kwa ubani mara kwa mara.


Unajuwa siri hata ya Makanisani kufukiza ubani? Hususan kanisa katoliki? Ni simple kabisa, haina maana yoyote kiimani, kwanza ni manukato, pili ni fumigation, wadudu wengi hawapatani na harufu ya ubani, ni zoezi lililokuwa likifanyika kukimbiza wadudu.

Hata Waislam walikuwa wakikaa kwenye visomo vyao wanafukiza ubani ili kukimbiza wadudu, na kuwe na harufu nzuri. Majama wengine walipoona wakaona ni ibada ndipo ikashika mpaka leo, lakini ukweli ni kuwa hakuna ibada yoyote ya kufukiza ubani zaidi ya kukimbiza wadudu na kupata harufu nzuri. Iwe msikitini iwe kanisani iwe majumbani.

Mie huwa nafukiza ubani nauchanganya na udi nanyunyizia na banagi kwa mbaaaali, ooh, harufu ya kipekee na wadudu hata mbu hakai.

Fanya hivyo. Lakini usiniige mimi kutumia bangi, usije ukashikwa Tanzania huko. Huku nilipo bangi kidogo ni rukhsa.
Kuongea unaongea nao vp? Kwa ishara maneno au ikoje? Ufafanuzi tafadhali.
 
Mchwa awaishi mpka umuue malikia wao, so kwa vile uwez kujua malkia alipo fanya hivi….tafuta yale maranda ya mbao yale malaini sana then changanya dawa (utasoma kwenye kopo) alafu mwagia dawa kwenye maranda na kwenye maeneo yote unayoonaga mchwa (ukiweza nyumba nzima) kisha tandaza yale maranda yenye dawa maeneo yote mpka kwenye dari hapo utafankiwa coz wale mchwa watakula maranda yenye sumu na mengne watampelekea malkia ambae nae atakufa eventually coz mchwa wanapenda sana maranda. Ukiweza rudia zoez hili mara mbili au tatu NB: takes all the precautions wakat unafnya hili zoezi
Hii nzuri mkuu...
 
Back
Top Bottom