tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Ni inaniuma Sana Sana nikimwangalia dogo.Nimehakiki kuwa ni kweli dogo amezaliwa na maambukizi.Sasa naomba msaada wa kama wa uangalizi wa karibu na huduma.Ndo Kwanza yupo darasa la pili. Yupo Mbeya.NIMEUMIA SANA.
WITO:
Jamani tuwe makini Sana hasa ktk kuwasababishia hawa malaika matatizo yasiyowahusu.
Asanteni sn.
WITO:
Jamani tuwe makini Sana hasa ktk kuwasababishia hawa malaika matatizo yasiyowahusu.
Asanteni sn.