Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Wakuu salama?
Nina mdogo wangu anasomea Kenya kwa ufadhili wa kanisa sasa mwaka huu anahitimu darasa la nane. Nilitaka akimaliza aje aendelee huku na masomo ya sekondari. Naomba kujua yafuatayo:
1. Inawezekana yeye kuhamia katika mfumo wa elimu ya Tanzania?
2. Ni taratibu zipi zifuatwe ili akidhi vigezo vya kujiunga na sekondari huku?
3. Je anaweza kupata nafasi shule za serikali?
Mawazo yenu wadau.
Nina mdogo wangu anasomea Kenya kwa ufadhili wa kanisa sasa mwaka huu anahitimu darasa la nane. Nilitaka akimaliza aje aendelee huku na masomo ya sekondari. Naomba kujua yafuatayo:
1. Inawezekana yeye kuhamia katika mfumo wa elimu ya Tanzania?
2. Ni taratibu zipi zifuatwe ili akidhi vigezo vya kujiunga na sekondari huku?
3. Je anaweza kupata nafasi shule za serikali?
Mawazo yenu wadau.