James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Peleka private.Wakuu salama?
Nina mdogo wangu anasomea Kenya kwa ufadhili wa kanisa sasa mwaka huu anahitimu darasa la nane. Nilitaka akimaliza aje aendelee huku na masomo ya sekondari. Naomba kujua yafuatayo:
1. Inawezekana yeye kuhamia katika mfumo wa elimu ya Tanzania?
2. Ni taratibu zipi zifuatwe ili akidhi vigezo vya kujiunga na sekondari huku?
3. Je anaweza kupata nafasi shule za serikali?
Mawazo yenu wadau.
Mtoto hayupo ktk data base.
Au nenda wizarani.