Msaada, Mgao Wa Mali Endapo Wanandoa Wametalakiana?

Vipi Kama hamjafunga ndo a ila mmeishi miaka mingi
Na kuchuma Mali pamoja na sasa mnataka kuachana?

Kama mmeishi kuanzia miaka miwili na kuendelea japo hamna ndoa, na watu wakaichukulia hiyo kama ndoa kwa waliokuwa wakiwaona, hii italeta dhanio la kisheria kuwa hiyo ni ndoa, naomba nieleweke si ndoa, ni dhanio tu kuwa ni ndoa lengo kubwa ni pamoja na,

Kama kuna watoto mmezaa pamoja, wapate haki zao kutokana na hayo mahusiano yaliyokuwepo, pili kama kuna mali mlivuna wote muweze kugawana.

Ila, mpaka mahakama ifikie maaumuzi ya kuweka dhanio la ndoa, mpaka kuwepo na ugomvi kati yenu na mda niliotaja hapo juu umefika.

Huwezi kwenda kuiomba mahakama ugawiwe chako kwa kigezo kuwa unataka ugawiwe tu alikuwa mume wako, na mlichuma wote wala hamna mgogoro.

Mwingine anaweza kuongeza au kurekebisha, angalia Sheria ya Ndoa ya 1971 kifungu cha 61.
 
wazazi wangu mahakama imewapa talaka,hawa walikuwa wafanyakazi,kila mmoja na kituo chake.ni wanandoa wenye cheti.mzee alimtelekeza mama kwa miaka 11,mama hakuolewa ila mzee akawa na mke ambae si wakisheria maana ni wakristo..sasa ishu ya mgao itakuwa vipi hapo maana mzee alikokuwa huko kuna mali,japo alizinunua peke yake,na kwa bi mkubwa nako zipo nazo aliganga kivyake.lakini mahakama ilikuwa haijatoa talaka. Je mali hizi zinahesabika walichuma pamoja kisheria

nb.muda wote huu mama aliishi na watoto na dingi alikuwa cngle tu!
 

Noma sana, maelezo haya nilikopi mahali halafu nikayatoa kama yakwangu, aibu kweli kweli.

ELIMU YA SHERIA (DENIS MARINGO): HUKUMU YA HAWA MOHAMED v. ALLY SEFU [1983] TLR 32 INAHUSIKA NA NINI?
 

Ingawa section 160 sub 2 LMA inarebat hii presamption mkuu na nicourt pekee inayoweza pressume kama kulikuwa naprissamtion ama hapana hata kama vigezo vyote vpo.though kuna shool of thought mbil znakinzana ambyo moja inazungumzia stil ndoa inaweza kuwa valid bila kujali hyo section nliyoitaja hapo juu kwakuzingatia section 41 ya LMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…