kigogo1ivi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 539
- 340
Ilikua mwezi wa tatu mwaka jana kilijitokeza kipele kwenye mguu kikawa kina washa sana na nilipo jaribu kukuna kilitoa damu tokea hapo kikawa kinatanuka na kuweka gamba gumu juu.
Ila ndani kinauma na kinaenelea kukua maana sasa kinalingana na sh 200.
Ila ndani kinauma na kinaenelea kukua maana sasa kinalingana na sh 200.