Vipe ushamuona Dok Year?Habari wakuu ndani ya jf.. Nina mpenzi wangu cjajua anatatzo gani .? Tunataka tuwe na mtoto tatzo ikifika siku za uhakika za kushika mimba tunasex zenu baada ya siku tatu au nne.tukijua mimba tayari ...unakuta anableed damu nzito kama cku mbili hafu no mimba tumejitahdi ila hakuna kitu. Nishauri tatizo ni nini linalosabisha hyo hali?
Kwa kweli mimi ni mtaalamu wa logistics and transport, nashauri umuone daktari... nikiongea sana ntaharibu mkuu
mkuu excel upo?Kwa kweli mimi ni mtaalamu wa logistics and transport, nashauri umuone daktari... nikiongea sana ntaharibu mkuu
Mkeo atakua na group O- wakati wewe una O+.
Watu wenye group O- wana resist sana magonjwa ivo group O- ina assume hata mimba ni kirusi na ivyo kulazimika kuitoa ndo ivo unaona damu.