Skyblue
Senior Member
- Jan 3, 2014
- 196
- 55
Habari wakuu ndani ya JF,
Nina mpenzi wangu sijajua anatatzo gani? Tunataka tuwe na mtoto tatizo ikifika siku za uhakika za kushika mimba tunasex alafu baada ya siku tatu au nne tukijua mimba tayari unakuta anableed damu nzito kama siku mbili halafu no mimba tumejitahdi ila hakuna kitu.
Nishauri tatizo ni nini linalosabisha hiyo hali?
Nina mpenzi wangu sijajua anatatzo gani? Tunataka tuwe na mtoto tatizo ikifika siku za uhakika za kushika mimba tunasex alafu baada ya siku tatu au nne tukijua mimba tayari unakuta anableed damu nzito kama siku mbili halafu no mimba tumejitahdi ila hakuna kitu.
Nishauri tatizo ni nini linalosabisha hiyo hali?